SOKO KUU LA MCHINGA JIJINI DODOMA KUFUNGULIWA RASMI JULAI MOSI
Na Barnabas Kisengi-Dodoma Mkurugenzi wa Jiji la Dodoma JOSEPH MAFURU amesema ujenzi wa soko la wamachinga wa Jiji la Dodoma umefika asilimia 95 kukamilika na wanategemea ifikapo Julai mosi mwaka huu wafanya biashara hao wahamie na kuanza kufanya biashara zao katika soko hilo. Mategemeo tarehe 1 mwezi 7 mwaka huu ambapo hadi Sasa wafanyabiashara 3000
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed